sahini

sahini

Thursday, September 4, 2014

USAJILI WA MANCHESTER UNITED: VAN GAAL MWANAJESHI ANAYEKUMBATIA BUNDUKI YENYE MITUTU MIWILI……


1409747838407_wps_6_MANCHESTER_ENGLAND_SEPTEM
Na Nicasius Coutinho Suso
Moja ya wanadamu wanapata kujifanyia utalii kila mwaka pasi na wao kufahamu ni mwanamama Lorelei Taron. Wengi hawamjui huyu, lakini huyu ndie mwanamama anayezipendeza vyema na kuzing’arisha ipasavyo mboni za Radamel Falcao, namaanisha ndio mkewe. Kutokana na Maisha ya mumewe ana uhakika wa kuwa na pasi ya kusafiria kwenda nchi tofauti kila mwaka.
Ndio hata juzi kasafiri tena, katika siku tulivu kabisa yeye alikuwa anapata kahawa nje kidogo ya nyumba  akisubiri dili la mume wake kukamilika kutua Manchester United. Pengine huu ndio usajiri ambao haukutarajiwa na wengi ila umetokea, wakati wengi wakimuwaza Vidal, Van Gaal alifanya biashara ya kikubwa na Arsene Wenger, huku akampeleka Welbeck yeye akamuingiza Falcao. Alichofanya Van Gaal ni sawa na kuleta keki msibani.
Wakati mashabiki wengi wa United wakiwa wanalia na Beki ama,Kiungo mkabaji wa asili, yeye hajawaza sana, amewaletea kile kitu ambacho ni kitamu mdomoni, kitu ambacho ukiwaza Mara mbili unakikumbatia Mara mbili Kisha unasema Ahsante Mungu kwa siku hii. Hii ni saikolojia nzuri sana ya Ed Woodward na Van Gaal.
1409737559630_wps_4_ST_ALBANS_ENGLAND_SEPTEMBDanny Welbeck alitua Arsenal
Naamini walijua mapema kabisa Arturo Vidal hasingeweza/hatoweza kufika, sasa kilichotakiwa ni kufanya Marquee signing(usajiri mkubwa) Kisha kuondoa wale wanaonekana ni wasiotakiwa pale. Lakini pamoja na hayo hili hupaswa kufanywa kwa mahesabu makali sana, mahesabu ya kulenga shabaha pin iliyoning’inia katika uzi.
Unajua kwanini mahesabu ya Van Gaal yamefanya kazi kwa mashabiki.? Hawawazi namna ya kumzuia Aguero tena kama Liverpool walivyoshindwa Bali wanawaza namna ipi watakabwa wao. Wanawaza baada ya wiki hii ya mechi za kimataifa wao ndio watakuwa paka wa kuvikwa kengele. Usiwazuie kuwaza hivyo wapo sahihi sana.
Kwa sasa Carlington katika mazoezi wamepishana watu wawili Mlangoni, watu tofauti lakini wenye Nia moja. Wote wana kazi ya kufunga magoli katika timu zao. Carlington kwa sasa lile eneo alilokuwa anafanyia mazoezi Welbeck atakuwepo Radamel Falcao.
Hapa ndipo mashabiki wanapopata faraja, hapa ndipo Carlington inapopendeza, hapa ndipo Mata anapofarijika, na hapa ndipo Di Maria anapohitaji. Zile Rabona zake zitaelekea katika miguu ya moja ya washambuliaji hatari wa Dunia hii.
Hapa ndipo hata Kompany anapoanza kuiwaza Derby pia. Unawaza kupambana na Falcao, Rooney, Van persie, Di Maria na Mata kabla hujawaza Aguero atafanya nini. Katika miaka ya karne ya 18 huko Pressia ambayo kwa sasa ni Ujerumani. Alipata kuzaliwa mtu anaitwa Carl Von Clausewitz. Huyu alikuja kuwa mwanafilosofia mzuri wa masuala ya jeshi.
Huyu ndio chanzo cha filisofia za “ON WAR” yaani KATIKA VITA. Katika moja ya vitu anavyoaminika kuwa ndiye mwanzilishi ni ule usemi maarufu wa “THE BEST DEFENSE IS GOOD OFENSE”. Maana yake njia bora ya kujilinda ni ushambuliaji mzuri.
gaalKocha wa Manchester United, Louis van Gaal
Na hapa ndipo namwona Louis Van Gaal na Machester United, hapa ndipo nayaona mahesabu yake ya kulenga shabaha pin yalipo. Baada ya kukosa mahitaji ya ulinzi akaamua kuwekeza katika ushambuliaji, akaamua kufanya uamuzi wa kuwapishanisha Welbeck na Falcao mlangoni.
Na hapa ndipo unapowatizama Manchester united, wakiwa fiti wana safu ya ushambuliaji imara kuliko Bayern Munich. Lakini alichokifanya Van Gaal ni kama mwanajeshi anayemiliki bunduki yenye mitutu miwili. Anatakiwa kuwa makini katika utumiaji wake. Anatakiwa mahesabu mengine bora na fanisi zaidi ya yale ya kulenga shabaha pini. 
Baada ya mashabiki kuamini kuwa sasa ni tishio, Van Gaal anatakiwa kumuishi Von Clausewitz, anatakiwa kuifanya safu ya ushambuliaji iwe ngao yake ya kujilinda, anatakiwa awafanye Kompany, Skrtel, Koscielny, Cahill wamuogope kabla hajawaogopa akina Diego Costa.
Na hapa ndipo kamali ilipo, na hapa ndipo Van Gaal anapojikuta kakumbatia Bunduki yenye mitutu miwili. Inahitaji umakini katika upigaji wake, mtutu mmoja upo uelekeo wa adui mwingine unaelekea kwake mwenyewe. Akikosea namna ya kuruhusu risasi itampata yeye na kumwacha adui salama. Akipatia ameshinda vita.
Naisubiri Mei sasa, nasubiri kuona ulengaji wake, akiipatia tunaweza kumuona LORELEI TARON akiacha utalii wake akatulia pale Manchester, akikosea itamjeruhi mwenyewe na Sioni kama atabaki salama pale, tuataandaa Visa yake na ya LORELEI kwa Mara nyingine, na hapa ndio Urafiki wa Perez na Mendez utaongezeka. Ndio maana watakuwa wanapata Jack Daniels huku wanajadili namna ya kumpata Falcao tena. Ahsanteni

MANCHESTER UNITED HAWAKUPOTEA NJIA, DI MARIA ATENGENEZA MATATU NA KUJIPIGIA MOJA ARGENTINA IKIICHAPA UJERUMNAI 4-2


1409775941982_wps_28_Argentina_s_Angel_Di_Mari
ANGEL di Maria alionesha uwezo wake wa kutandaza kabumbu baada ya kutengeneza magoli matatu na kufunga moja, Argentina akiwatandika 4-2 mabingwa wa dunia, Ujerumani.
Nyota huyo aliyevunja rekodi ya usajili ya Manchester United alitoa pasi za mwisho za magoli ya Sergio Aguero, Erik Lamela na Federico Fernandez kabla ya kufunga la kwake ikiwa ni kulipa kisasi cha kufungwa bao 1-0 katika fainali ya kombe la dunia ambapo bao la dakika za nyongeza la Mario Gotze lilizima ndoto za Argentina kutwaa kombe la dunia majira ya kiangazi mwaka huu nchini Brazil. 
Nyota wa Mchezo: Angel di Maria alionesha kiwango cha hali ya juu.
Magoli matano kati ya sita yaliyofungwa jana mjini Dusseldorf yalifungwa na wachezaji wanaocheza ligi kuu England ambapo moja la Ujerumani lilifungwa na Andre Schurrle anayekipiga Chelsea na lingine likatiwa kimiani na Gotze.

WAYNE ROONEY AITENDEA HAKI BEJI YA UNAHODHA, AIPIGIA MOJA ENGLAND IKIICHARAZA 1-0 NORWAY


1409776336221_wps_34_SPT_GCK_030914_Football_E
Kamwe hana wasiwasi: Nahodha wa England ,Wayne Rooney akifunga goli kwa mkwaju wa penalti na kuipa timu yake bao la kuongoza katika uwanja wa nyumbani wa Wembley dhidi ya Norway.
All smiles: Rooney is congratulated after scoring the winner for England in their first match since returning from the World Cup 
Kikosi cha England: Hart 6, Stones 6.5 (Chambers 81), Jones 6.5, Cahill 6.5 (Jagielka 84), Baines 6, Oxlade-Chamberlain 6 (Delph 69, 6), Henderson 6, Wilshere 6.5 (Milner 69, 6), Sterling 7.5, Rooney 6.5 (Welbeck 70, 6), Sturridge 6.5 (Lambert 89).
Wachezaji wa akiba: Forster, Rose, Townsend. 
Goals: Rooney 68.
Kikosi cha Norway: Nyland 6, Elabdellaoui 5.5, Nordtveit 6, Forren 6, Linnes 5 (Flo 36, 6), Skjelbred 6.5 (Elyounoussi 69, 6), Johansen 6.5, Jenssen 6 (Pedersen 87), Daehli 6 (Konradsen 57, 6), King 6 (Nielsen 76), Elyounoussi 6 (Kamara 78).
Wachezaji wa akiba: Jarstein, Semb Berge, Hagen, Samuelsen, Tettey, Mohamed Elyounoussi, Hansen.
Mwamuzi: Jorge Sousa (Porto).
Watazamaji: 40,181. 

KIPUTE CHA NGAO YA JAMII BAINA YA YANGA NA AZAM FC CHASOGEZWA MBELE


_DSC0064
MECHI ya Ngao ya Jamii kuashiria kufunguliwa kwa pazia la ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2013/2014 baina ya mabingwa Azam fc na makamu bingwa, Dar Young Africans sasa utapigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam septemba 14 badala ya septemba 13 mwaka huu kama ilivyopanga.
Shirikisho la soka Tanzania limeamua kuusogeza kwa siku moja mchezo huo uliotakiwa kupigwa jumamosi na sasa kupigwa jumapili kwa lengo la kuwapa fursa mashabiki wengi kuuona.
TFF imesema jumapili ni siku tulivu kuliko jumamosi na mchezo wa mwaka huu utaambatana na shughuli za kijamii ikiwemo uchangiaji wa damu.
Pia sehemu ya mapato ya mchezo huo yatapelekwa katika shughuli ya kijamii iliyochaguliwa.
Mechi hiyo itapigwa ikiwa ni wiki moja kabla ya kuanza kwa ligi kuu septemba 20 mwaka huu ambapo Yanga wataanzia ugenini dhidi ya Mtibwa Sugar katika dimba la Jamhuri mkoani Morogoro.
Mnyama Simba atakuwa uwanja wa Taifa siku moja baada ya kufunguliwa kwa ligi kuu (septemba 21 mwaka huuu) dhidi ya Wagosi wa Kaya, Coastal Union.
Azam fc watakuwa nyumbani Azam Conmplex kuchuana na Polisi Morogoro.

GOR MAHIA WATUA KUJARIBU MAKALI YA SIMBA SC


Gor-Mahia-24102012
Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
WEKUNDU wa Msimbazi wanatarajia kucheza mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya mabingwa wa ligi kuu nchini Kenya, Gor Mahia siku ya jumamosi katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Geofrey Nyange ‘Kaburu’, makamu wa Rais wa Simba sc, amewaambia waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuwa kikosi cha Gor Mahia kitawasili kesho uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam kikitokea Nairobi kwa kutumia ndege ya shirika la Kenya.
Kaburu aliongeza kuwa nacho kikosi cha Simba kitawasili siku hiyo hiyo kikitokea Zanzibar kilipoweka kambi ya kujiwinda na ligi kuu.
Licha ya kukipiga na Simba, Gor Mahia imeomba kucheza mechi mbili, hivyo siku ya jumapili watakuwa na mechi nyingine ya kirariki wakati kikosi cha Patrick Phiri kitarejea Zanzibar kuendelea kumalizia program zake za maandalizi kabla ya ligi kuanza septemba 20 mwaka huu.
Awali Simba walipanga kuchuana na Mtibwa Sugar, lakini kocha Phiri akapendekeza kutafutiwa mechi ngumu ya kimataifa ili kuangalia namna kikosi chake kilivyoimarika.
Mechi ya jumamosi itakuwa fursa nzuri kwa mashabiki wa Simba kuwaona wachezaji wao akiwemo mshambuliaji hatari aliyerejea Msimbazi, Mganda Emmanuel Anord Okwi ambaye atavalia jezi yake namba 25 aliyokuwa anaitumia kabla ya kutimkia Etoile Du Sahel ya Tunisia.
Kaburu alisema viingilio katika mechi hiyo ni shilingi elfu 5 (5,000) kwa viti vya kijana, viti vya rangi ya chungwa ni shilingi 10,000, VIP C na B itakuwa shilingi 2,000 wakati VIP A itakuwa shilingi elfu 30,000.
Tiketi kwa ajili ya mchezo huo zitaanza kuuzwa siku ya mechi kuanzia majira ya saa 4:00 asubuhi.
Simba wataanza kampeni za kusaka ubingwa wa ligi kuu bara septemba 21 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam dhidi ya Coastal Union.

MBEYA CITY FC KUJIPIMA MAKALI NA BIG BULLETS


Mbeya-City
 Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam,
 Ili kujiimarisha zaidi kuelekea msimu mpya wa ligi kuu Tanzania Bara, klabu ya Mbeya City inataraji kucheza michezo miwili ya kimataifa ya kirafiki kabla ya kuanza kwa msimu mpya Septemba 20 ambapo timu hiyo iliyomaliza katika nafasi ya tatu msimu uliopita itafungua dimba dhidi ya ‘ Maafande’  wa JKT Ruvu katika uwanja wa Sokoine, Mbeya.
 Kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mwambusi ameuagiza uongozi wa timu hiyo kumtafutia michezo miwili dhidi ya klabu za Malawi.
 Big Bullets ni klabu kongwe nchini Malawi na Kusini mwa bara la Afrika itacheza na City katika mchezo wa kwanza wa kimataifa.
  ” Nimeuambia uongozi wangu nahitaji mechi mbili ngumu za kimataifa na timu kutoka nchini Malawi. Tunataraji kucheza na Big Bullets ya Malawi ili kujiimarisha zaidi kabla ya kuanza kwa msimu mpya” alisema, Mwambusi.
 City imefanikiwa kuwabakisha kikosini wachezaji wake nyota kama, Paul Nongwa, Saad Kipanga, Hassan Mwasapili, na golikipa, David Baruani licha ya wachezaji hao kuwaniwa na timu kubwa katika dirisha la usajili.
 Mwagane Yeya, Eric Banda wataungana na nyota mpya, Themi Felix kuifanya timu hiyo kuendelea kuwa bora katika msimu wake wa pili katika ligi ya Tanzania Bara.

CRISTIANO RONALDO AFUNGUKA YA MOYONI KUHUSU MANCHESTER UNITED


Kimataifa

1409770800044_wps_24_SPT_GCK_010914_Football_F
Cristiano Ronaldo anatamani kurudi Old Trafford
MWANASOKA bora wa dunia na Ulaya, Cristiano Ronaldo bado ana mapenzi ya dhati na klabu yake ya zamani ya Manchester United.
Ronaldo katika maisha yake hawezi kuisahau United na amesema anaipenda kutoka moyoni mwake.
 “Naipenda Manchester,” alisema. “Kila mtu anajua hilo–na nimesema mara nyingi”.
“Manchester iko moyoni mwangu. Niliwaacha marafiki wengi pale, mashabiki wake ni waajabu na natamani kurudi siku moja”.

Saturday, August 30, 2014

ROONEY NAHODHA MPYA WA ENGLAND


roo
Mchezaji wa Manchester United na timu ya Taifa ya Uingereza, Wayne Rooney, ameteuliwa kuwa nahodha wa timu ya Taifa ya Uingereza leo hii na Roy Hodgson (Kocha mkuu), kwaajili ya michuano ya Kombe la mataifa ya Ulaya. UEFA Euro.
Rooney anachukua mikoba hiyo baada ya Steven Gerald kustaafu kuchezea timu hiyo ya Taifa baada ya tu kutolewa katika kombe la Dunia huko Brazili.
Rooney mwenye miaka 29, amesema anajisikia faraja sana kutajwa kuwa nahodha wa timu ya Taifa.
Kocha wa Timu ya Manchester United, Van Gaal, pia alishamtaja Rooney kuwa nahodha wa klabu hiyo siku kadhaa zilizopita, Hivyo basi Rooney anapata jukumu la tatu, Katika Familia kama Captain wa Nyumba (Baba), katika Klabu yake na sasa katika timu yake ya Taifa.

MANJI; TUTAWASILISHA JINA LA EMMANUEL OKWI KATIKA USAJILI WETU


Kitaifa

manji
Baraka Mbolembole, Dar es Salaam,
Rais wa klabu ya Yanga, Yusuph Manji amesema kuwa klabu yake itawasilisha orodha ya wachezaji sita wa kigeni badala ya watano wanaotakiwa kwa mujibu wa kanuni za usajili.
Akizungumza na vyombo vya habari siku ya leo, Manji amesema kuwa majina hayo yataambatana na jina la mshambulizi, Emmanuel Okwi ambaye jana klabu ya Simba SC ilitangaza kumsaini kwa mkataba wa muda usijulikana.
Mbuyu Twite na Haruna Niyonzima kutoka nchini Rwanda, Andrey Coutinho na Geilson Santos ‘ Jaja’ kutoka nchini Brazil na Hamis Kizza ni majina mengine matano ambayo yatapelekwa kwa shirikisho la soka nchini TFF, siku ya kesho.
HAYA NDIYO MALALAMIKO RASMI YA YANGA KUHUSU USAJILI WA OKWI
okwi 1
okwi 2Na
okwi 3

OKWI ASEMA KARUDI NYUMBANI

Okwi Arejea Msimbazi, Kucheza Kwa Muda Kulinda Kipaji Chake

posted 1 day ago by admin
Mipango waliyoitumia Yanga SC kumpata mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi ndiyo ambayo klabu yake ya zamani, Simba SC inaitumia kumrejesha kundini Mganda huyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jana jioni mjini Dar es Salaam, Okwi amesema kwamba amesaini Simba SC mkataba huru wa muda, baada ya Yanga SC kumpa barua ya kusitisha mkataba naye jana pamoja na kumshitaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Okwi amesema ameamua kuomba kuichezea Simba SC kipindi hiki ambacho ana matatizo na Yanga SC ili kulinda kipaji chake, kwa kuwa hata FIFA haitaki mchezaji akae bila kucheza.
Msimbazi ni nyumbani; Okwi akiwa na jezi ya Simba SC baada ya kurejea timu yake ya zamani leo
“Sasa wakati Yanga wanaendelea na kesi yao, mimi ninaomba nichezee Simba SC ili kulinda kipaji changu. Nimewaandikia barua TFF na FIFA pia na nina matumaini usajili wangu utaidhinishwa, kwa sababu mimi si tatizo katika hili,”amesema.
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe amesema kwamba wamemsaini mchezaji huyo baada ya kupitia kwa kina suala lake na Yanga SC na kugundua haki ipo upande wa mchezaji.
“Baada ya kulipitia suala lake na Yanga kwa undani kabisa na vielelezo ambavyo mchezaji mwenyewe ametupatia, tumejiridhisha tuko sahihi kumsaini ili acheze mpira kunusuru kipaji chake kipindi hiki ambacho ana matatizo na Yanga SC,”amesema Poppe. 
Yanga mtanikoma; Okwi akiwa ameshika jezi yake nbamba 25 kwa pamoja na Hans Poppe
Tayari Simba SC imetuma jina la mchezaji huyo katika usajili wake TFF na ataungana na Mganda mwenzake, Joseph Owino, Warundi Pierre Kwizera na Amisi Tambwe na Mkenya, Paul Kiongera katika wachezaji watano wa kigeni. 
“Tumewaandikia barua TFF kuomba kumtumia mchezaji huyu kwa muda wakati kesi yake na Yanga inaendelea, tumeambatanisha na barua yake ambayo yeye anatuomba kucheza kwetu kulinda kipaji chake,”amesema Poppe.
Okwi aliichezea Simba SC tangu mwaka 2009 kabla ya Januari mwaka jana kuuzwa kwa dola za Kimarekani 300,000 Etoile du Sahel ya Tunisia.
Etoile haikulipa fedha hizo Simba SC na baadaye ikaingia kwenye mgogoro na Okwi, aliyedai hakulipwa pia mishahara yake kwa miezi mitatu.
Okwi akawafungulia Etoile kesi FIFA na akaomba wakati mgogoro wao unaendelea, aruhusiwe kuchezea timu yoyote kulinda kipaji chake, ndipo akajiunga na SC Villa ya kwao.
Akiwa SC Villa ndipo aliposaini Yanga SC Desemba mwaka jana na pamoja na mapingamizi yaliyoanzia ndani, na baadaye klabu yake, Etoile- lakini Okwi aliidhinishwa kuichezea timu hiyo ya Jangwani.
Okwi aliichezea Yanga SC mechi 11 na kuifungia mabao matano- lakini kuelekea mechi tano za mwisho za Ligi Kuu msimu uliopita akaingia kwenye mgogoro na klabu hiyo.
Okwi alisusa kushinikiza amaliziwe fedha zake za usajili na mgogoro wao umeendelea huku mchezaji huyo akiwa amesusa tangu Machi, miezi minne tu baadaye tangu asajiliwe.
Vikao kadhaa vimekwishafanyika baina ya Okwi na Yanga SC tangu hapo kutafuta suluhu ya suala hilo na kikao cha mwisho leo baina ya mchezo huyo na Mwenyekiti wa klabu hiyo, Yussuf Manji matokeo yake ni nyota huyo kurejea Msimbazi.
Kuhusu deni lao la dola 300,000 kumuuza mchezaji huyo Etoile, Poppe amesema haihusiani kabisa na usajili wake huu wa sasa. “Ile kesi yetu ya madai ya fedha zetu kule FIFA ilikwishamalizika na vielelezo vyote vilipelekwa, bado kutolewa hukumu tu,” amesema.

Thursday, August 28, 2014

KWA MARA YA KWANZA RONALDO AFUNGUKA KUHUSIANA NA URAFIKI WAKE NA MESSI



Kwa mara ya kwanza mshambuliaji nyota wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amefunguka kuhusiana na uhusiano wake na Lionel Messi na kusema anamheshimu hasa juhudi zake za kutaka mafanikio kama mchezaji pamoja na klabu yake ya Barcelona.

SWALIBaada ya miaka mitano sasa na Real Madrid, umechoka kulinganishwa na Messi au umejifunza jambo?
JIBUNi sehemu ya kazi tu kama vile ambavyo kwenye mashindano ya langalanga (Formula 1), watu wanafananisha kati ya Ferrari na Mercedes. Haya yamekuwa maisha yangu hapa Madrid, lakini najua mambo yanabadilika na hata nilipokwenda Manchester kulikuwa na mengine tofauti.
SWALI. Kumekuwa na taarifa kwamba uhusiano wako wewe na Messi nje ya mpira umekuwa si mzuri?
JIBU. Si kweli, sisi ni marafiki, ni marafiki kazini. Binafsi sina rafiki nje ya mpira, pia sina urafiki na Messi nje ya mpira. Anajitahidi kufanya makubwa katika klabu yake na timu ya taifa, sawa ninavyofanya mimi. Tunachezea timu zenye upinzani mkubwa na huenda ushindani huo unafanya watu wayakuze hayo mambo.
SWALI. Unafikiri wewe na Messi, siku moja mtakutana, mkae na kuanza kujadili haya yaliyotokea huku mkiangua vicheko kwa furaha?

JIBU. Nafikiri inawezekana, soka ni mchezo wa furaha, soka ni kitu kikubwa na unaweza kuufananisha na saa. Ndiyo maana nashauri kuwaangalia wapinzani kwa jicho la mafanikio na kukubali wanachofanya kwa vile ni kitu kizuri.

EVERTON WAMNASA ETO'O NA KUMPA JEZI NAMBA TANO.

Martinez: Asema kilichomvutia kumsajili Samuel Eto'o kwa miaka miwili (Video)

posted 3 hours ago by admin
Mshambuliaji kutoka nyumbani Afrika katika nchi ya Cameroon Samuel Eto'o Fils ametambulishwa rasmi kwa waandishi wa habari ikiwa ni siku moja baada ya kukamilisha usajili wa kujiunga na klabu ya Everton kwa mkataba wa miaka miwili.
Meneja wa klabu ya Everton Roberto Martínez Montoliú amemtambulisha Eto’o mbele ya waandishi wa habari pamoja na kutoa sababu za kile kilichomvutia kumsajili mshambuliaji huyo ambaye msimu uliopita aliitumikia Chelsea kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Martinez amesema uwajibikaji na kujituma kwa mshambuliaji huyo kutoka nyumbani Afrika ndio chagizo kubwa lililompa msukumo wa kumsajili baada ya kuona uwezekano wa kuwa nae kwenye kikosi cha The Toffees.
Amesema kabla ya kukamilisha mipango ya kumsaili aliketi kitini na Samuel Eto’o na kumueleza nini anachokihitaji kutoka kwake na mwishowe walifikia makubaliano ya kiutendaji, hali ambayo anaamini aitakamilishwa kwa vitendo uwanjani.
Samuel Eto’o anatarajiwa kuwa sehemu ya kikosi cha Everton ambacho mwishoni mwa juma hili kitapambana na Chelsea kwenye uwanja wa Goodson Park huko jijini Liverpool

SASA BAYERN HOI KWA BVB


Pierre-Emerick Aubameyang © Gallo Images

BVB thrash Bayern in Challenge



Borussia Dortmund edged out rivals Bayern Munich 6-0 in the Bundesliga’s Cross Bar Challenge.
The aim is to hit the crossbar from 16 metres out and features all the 17 Bundesliga teams. Clubs select five players to represent them and each club gets 15 attempts to hit the target.
Dortmund finished top of the standings with a total of six direct hits and were closely followed by Werder , who found the target five times.
BVB were represented by Pierre-Emerick Aubameyang, Henrikh Mkhitaryan, Erik Durm, Adrian Ramos and Ciro Immobile.
TSG Hoffenheim who finished ninth last season, finished third in the challenge, tied on four hits with Eintracht Frankfurt and Hertha BSC.
Five teams managed three hits each and six other teams could only get a total of two hits.
The league champions Bayern finished at the bottom of the standings without even a single hit. The defending champions picked Robert Lewandowski, Dante, David Alaba, Javi Martinez and Jerome Boateng to represent them.

USAJIRI WA KUTISHA LA LAKERS.

(Too Early) Lakers Line Up Guesses

Lakers Reporter
With the official signing of rookie Jordan Clarkson on Monday, L.A.'s roster stands at 13 players, out of a possible 15 that can be kept by any NBA team for the regular season, and as such, GM Mitch Kupchak could add another player or two.
What will new coach Byron Scott's rotations look like in the coming-faster-than-you-think 2014-15 season?
Here are a couple of (slightly) educated guesses based on our conversation with the former Showtime shooting guard from last week:

LAL LINE UP VERSION 1

PG: Jeremy Lin
SG: Kobe Bryant
SF: Wesley Johnson
PF: Carlos Boozer
C: Jordan Hill
Sixth Man: Nick Young
Bench Rotation: Steve Nash, Xavier Henry, Julius Randle and Ed Davis
Deeper Bench: Robert Sacre, Ryan Kelly and Jordan Clarkson
The one absolute lock for the starting five is … you guessed it … Kobe Bryant. Lin's the next most likely starter, his relative youth -- 10 years younger, to the day, than Bryant -- and athleticism a good compliment to Kobe. Ditto for Johnson, whose talent Scott really likes and wants to maximize after an inconsistent 2013-14 for the 27-year–old wing. (Johnson's been working out with Bryant throughout the summer, and having No. 24 on the floor with him could well be a boon for Johnson's motor.) The frontcourt is less certain, but Boozer and Hill's respective high/low post games could mix well on offense, and the two can likely best take care of L.A.'s glass on both ends of the floor. Scott plans to account for the lack of rim protection by playing "a lot of help the helper to keep the ball from getting into the paint," which will take time to learn. He specifically said he'd like to see the rookie Randle playing next to Boozer, so Julius could be an early sub off the bench alongside Swaggy P, whom Scott prefers in the sixth man slot to maximize his offensive gifts and time on the ball. If healthy, Nash remains the NBA's best shooter and can still create plays off the dribble, while Henry showed strong flashes last season before succumbing to injuries he continues to rehabilitate. If Xavier hasn't fully recovered from surgeries on his wrist and knee, Clarkson could get some early run, but Henry does expect to be ready by the start of camp. Davis is the best rim protector on the team and is absolutely worth an extended look.
Steve Nash

LAL LINE UP VERSION 2

PG: Jeremy Lin
SG: Xavier Henry
SF: Kobe Bryant
PF: Julius Randle
C: Carlos Boozer
Sixth Man: Nick Young
Bench Rotation: Jordan Clarkson, Wesley Johnson, Ryan Kelly and Jordan Hill
Deeper Bench: Ed Davis, Robert Sacre, Steve Nash
Nash is currently 100 percent healthy and feeling no nerve pain for the first time in two years, but if that changes, he'd drop from the bench rotation in favor or Clarkson or some guard to be named later. Meanwhile, Randle could impress in camp to the point that Scott wants to reward him with a starting slot. If Johnson struggles or Henry looks great, Xavier could find himself next to Bryant on the wing. Scott could also be intrigued by a smaller bench line up featuring Kelly's capabilities as the lone stretch four on the roster, which would make frontcourt minutes harder to come by for Davis, Hill and Sacre. There is a situation where Young could start next to Bryant, but he's more likely to finish games than start them.
Bryant Nash Hill

LAL LINE UP VERSION 3

PG: Steve Nash
SG: Jeremy Lin
SF: Kobe Bryant
PF: Carlos Boozer
C: Jordan Hill
Sixth Man: Nick Young
Bench Rotation: Jordan Clarkson, Xavier Henry, Ryan Kelly, Julius Randle, Ed Davis
Deeper Bench: Wesley Johnson, Robert Sacre
It's unlikely that you'll see such a group, but Scott did mention the small Nash-Lin-Bryant group as a possibility if he's not getting what he wants from wings Johnson or Henry. This group would struggle defensively on the perimeter, but be difficult to track offensively, with three playmakers who can all shoot and space on the opposite side of the floor as well. You can flip flop the bigs as well, with Randle, Hill, Davis and even Kelly or Sacre getting into the rotation depending on the skill set required on a given night

ARSENAL YAPONEA CHUPU CHUPU UEFA.

Video: Arsenal yapenya kwa mbinde, Mathew Debuchy alambwa kadi nyekundu

posted 6 hours ago by admin
Mzimu wa kadi nyekundi umeendelea kuisumbua Arsenal katika michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya ambayo usiku wa kuamkia hii leo ilimaliza hatua ya michezo ya mtoano.
Arsenal walijikuta wakimaliza pungufu walipokuwa katika uwanja wao wa nyumbani wakicheza mchezo wa mkondo wa pili wa hatua ya mtoano dhidi ya Besiktas kutoka nchini Uturuki baada ya beki wao wa pembeni kutoka nchini Ufaransa Mathew Debuchy kuonyeshwa kadi mbili za njano ambazo zilizaa kadi nyekundu.
Hata hivyo kabla ya tukio hilo halijatokea katika dakika ya 75 Arsenal walikuwa mbele kwa bao moja ambalo liliwapa ushindi wa jumla na kufanikiwa kusonga mbele kwenye hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa barani Ulaya.
Bao hilo pekee na la ushindi lilifungwa na mshambuliaji wa pembeni kutoka nchini Chile Alexis Alajandro Sanchez katika dakika ya 45 kipindi cha kwanza.
Mara baada ya mtanange huo kumalizika huko kaskazini mwa jijini London meneja wa Arsenal, Arsene Wenger aliteta na waandishi wa habari na kuelezea ugumu wa mpambano huo ulivyokuwa hasa baada ya muamuzi kutoka nchini Ureno Pedro Proença Oliveira Alves Garcia kumuadhibu kwa kadi nyekundu Mathew Debuchy kufuatia madhambi aliyomfanyia Mustafa Pektemek.
Wenger amesema kwa hakika muamuzi Proenca hakumtendea haki Debuchy kwa kumuadhibu kwa kadi nyekundi kutokana na uhalisia ulioonekana kwa kuucheza mpira na si kumfanyia madhambi Mustafa Pektemek.
Ushindi huo wa bao moja kwa sifuri ambao unaoivusha Arsenal hadi katika hatua ya makundi, unampa sifa kubwa meneja Arsene Wenger kutokana na mafanikio ya kuiwezesha klabu hiyo ya jijini London kucheza michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya kwa mara ya 17 mfululizo tangu alipoajiriwa mwaka 1996

JINSI SHERFFIELD UNITED WALIVYOWAFANYA WEST HAM

Capital One Cup: Sheffield United overcome West Ham on penalties

Last Updated: 27/08/14 3:40pm
  • Share:
Sheffield United: Held their nerve at Upton Park
Sheffield United: Held their nerve at Upton Park
Sheffield United claimed a Premier League scalp as they prevailed 5-4 in a Capital One Cup second round penalty shoot-out with West Ham United.
The Upton Park contest had ended 1-1 after 120 minutes, with Diafra Sako edging the hosts in front, only to see Winston Reid put through his own net to restore parity.
West Ham fans taunted their Sheffield United counterparts with chants about Carlos Tevez - only to see their latest big-money signing miss the decisive penalty.
This was the first meeting between the two sides since the Blades were relegated in 2007, largely thanks to Tevez's goals at West Ham - only for a legal wrangle over the Argentina international's ownership leading to the Hammers paying out almost £30million in compensation.
There are now two divisions separating the clubs but it is Sheffield United who progress into the third round after Enner Valencia, a £14million signing from Pachuca, was the only player to miss his spot-kick.
Sakho was quiet but managed to put the Premier League side ahead with a well-taken first-half header, only for Reid - captain for the evening - to score an unfortunate second-half own goal, with few chances created by either side as the game meandered into extra time and eventually to penalties.
West Ham: Left dejected after shootout
Both sides converted their opening four spot-kicks before Valencia, who had wasted a couple of good chances during the night, saw his low effort saved by the impressive Mark Howard.
Blades' skipper Michael Doyle then stepped up to seal the win for Nigel Clough's side - who will see the result as a small piece of revenge for the whole Tevez saga