sahini

sahini

Thursday, September 4, 2014

CRISTIANO RONALDO AFUNGUKA YA MOYONI KUHUSU MANCHESTER UNITED


Kimataifa

1409770800044_wps_24_SPT_GCK_010914_Football_F
Cristiano Ronaldo anatamani kurudi Old Trafford
MWANASOKA bora wa dunia na Ulaya, Cristiano Ronaldo bado ana mapenzi ya dhati na klabu yake ya zamani ya Manchester United.
Ronaldo katika maisha yake hawezi kuisahau United na amesema anaipenda kutoka moyoni mwake.
 “Naipenda Manchester,” alisema. “Kila mtu anajua hilo–na nimesema mara nyingi”.
“Manchester iko moyoni mwangu. Niliwaacha marafiki wengi pale, mashabiki wake ni waajabu na natamani kurudi siku moja”.

No comments:

Post a Comment